Thursday, January 19, 2017

Msanii "Wa Mbaruku'

Kama ilivyo kawaida ya Big Money Label kuinua wasanii wadogo hiv majuzi Label hiyo walimchukua msanii mwingine kwa jina la Wa Mbaruku ambaye kwa sasa anamalizia ngoma yake itakayo toka January mwaka huu...Wa Mbaruku anayekuja kwa style ya Dance anatazamiwa kuteka anga la mziki Dunia...
Masikio yetu tusubiri ngoma yake...

No comments:

Post a Comment

Featured Post

Fact

Did You Know That Lil'Wine is The First Africas Hiphop Artist To have his Label Printed Country's Cars Registration Plate Nu...